Kituo cha Msaada wa Kimfumo (Help Desk) kwa masuala ya kiufundi ya mfumo wa Ajira Market.
Huduma ya Help Desk inahusika na masuala ya Kimfumo na Kiufundi tu (k.m. Kujisajili, Kuingia kwenye akaunti, Kupakia nyaraka/CV, Matatizo ya Malipo, na Hitilafu za kiufundi za tovuti).
š« Tafadhali kumbuka: Help Desk haihusiki na maswali ya ki-HR, mchakato wa usaili, vigezo vya nafasi za kazi, au maamuzi ya kuajiri ya makampuni binafsi.